Dar es Salaam, Tanzania May 14, 2019 Legal and Human Rights has on May 14, 2019, launched the Tanzania Human Rights Report 2
Mei 25, 2019, Kituo ch Sheria na Haki za Binadamu kilifanya Mkutano Mkuu wa 18 wa Mwaka wa Wanachama wa Kituo hicho jijini Dar es
Mnamo Jumatano Juni 19, 2019 asasi za kiraia kama sehemu ya wadau katika kuchangia mabadilko ya sera na sheria mbalimbali zilipoke
THE WRITTEN LAWS (MISCELLANEOUS AMENDMENTS) (NO.3) ACT, 2019
Friday, July 12, 2019 Dar es Salaam Legal and Human Rights Centre (LHRC) and the Finish Embassy in Tanzania have signed a gr
Unleash your inner purpose to help the helpless, marginalized and oppressed. Your contribution will help our course in provision of legal aid and promotion of human rights.
Help us curb human rights violations such as the murderous attack against people with albinism and elders.
Your donation will help us empower the general public with civic education on cross cutting issues counting gender issues and democracy to realize the changes we aspire.
Help us safeguard human rights all together.
Huenda huna muda wa kutosha wala kipato cha kutosha kulinda utu na haki za wengine, ingawa unawiwa kufanya hivyo.
Ni jukumu letu sote kujitoa kwa kidogo tulichojaaliwa ili kupaka rangi ya furaha katika nyuso za wengine, wewe, yule na sisi tukikusanya nguvu tunaweza kutetea na kulinda haki za wanaoonewa kwa kushindwa kuzifikia huduma za haki.
Jitolee sasa kidogo ulichonacho kusaidia ulinzi na utetezi wa haki na utu wa binadamu.