Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kilifanya maadhimisho ya miaka 25 mnamo Septemba 25, 2020. Katika maadhimisho hayo yaliyofanyika jijini Dar es Salaam, Mhe. Jaji Mkuu Mstaafu Barnabas Samatta ambaye ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya LHRC alitoa hotuba inayogusia masuala mbalimbali ya Sheria, Haki za Binadamu na Utawala Bora.
Soma hapa hotuba hiyo.
Unleash your inner purpose to help the helpless, marginalized and oppressed. Your contribution will help our course in provision of legal aid and promotion of human rights.
Help us curb human rights violations such as the murderous attack against people with albinism and elders.
Your donation will help us empower the general public with civic education on cross cutting issues counting gender issues and democracy to realize the changes we aspire.
Help us safeguard human rights all together.
Huenda huna muda wa kutosha wala kipato cha kutosha kulinda utu na haki za wengine, ingawa unawiwa kufanya hivyo.
Ni jukumu letu sote kujitoa kwa kidogo tulichojaaliwa ili kupaka rangi ya furaha katika nyuso za wengine, wewe, yule na sisi tukikusanya nguvu tunaweza kutetea na kulinda haki za wanaoonewa kwa kushindwa kuzifikia huduma za haki.
Jitolee sasa kidogo ulichonacho kusaidia ulinzi na utetezi wa haki na utu wa binadamu.
LEAVE A REPLY
Your email address will not be published.